Machali leo hamtala, machali leo hamtala
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanza kukatika
Machali leo hamtalala
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Ka ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Piga nduru,piga nduru,piga nduru usikike huku kwetu African
Zima nchi zote lazima kelele itafika
Dunia nzima hakuna manzi ka wa Nairobi
Ameng'ra nguo safi kidhani jana amezitoa tope
Kila siku namuona taoo akitembea na maringo
Hata ukimpita lazima utapindua hiyo shingo
Kwa akili nafikiria atafunguaje hizo vifungo
Hiyo jeans imemkaza itamkazia kufika huko
Watu wameshindwa kusema jina yangu Nonini
Sababu nimeona mwingine amenga'ra li nini na nini
Checky vile anatetemeka ni kama nimekunywa chang'aa
Juwa zile vitu nimeona jana jo utashangaa
Jua kali nakwambia utabidi tumeanza kuchangaa
Kama huna bima we ndio utaanza kutanga tanga
Checky yule kakakakakakaka
Checky yule kikakakakaka
Ningekuwa judge misingevaa nisivyo kawaida
Manzi wote wa Nairobi wangeshinda bila shidaaaa
[Chorus]
Hamunioni Nairobi tena nikienda kucheki movie
Ya manzi mpoa haja vaa any ndani ya jaquzi
Hata ka ni Julia Roberts
Nataka wa Nairobi yule anaoganga na hiyo hiyo roberts
Msafi resize yake ameshisha kiplani
Msauni muatherere anaweza kumalizia ganji
Hakuona kwa kichwa yake ameketisha sisasini
Na kaa kawaida kwa mfuko anaingiza profit ya hamsini
Mchukuwe manzi yoyote yule humjui
Kama hutaki kosana sana na wale wako Kitui
Lakini watu husema wanataki ya hiyo mi sijui
Kuwa ready kupelekwa mbio ama utawika u-u-uwii
Na naongea from experience niliacha moja juzi
Mluhya kumunduyo manzi ameshona bana
Hizo miguu zake amezitumia sana
Wacha ikae ka ni huyo mi nawika hapana
(Mjaluo)
Saa umeongea, huyo ndio mambo yote
Nyuma ukimchecki mazee ambebe zote
Nikisimama na yeye, tunatoshana
Tukipoa down ni mrefu, tena sana
Nashindwa nikimpata hizo mizigo nitaezana
Usiniulize mzigo gani, wajua wacha kujifanyaaa
aa-aa-aa-aaaaaaaaa Nonini
[Chorus]
Si-ta-choka na kuwapatia manzi wa Nairobi sifa
Hii ngoma inaeza enda one hour kabla haijaisha
Kuna manzi mpoa ni ugonjwa huaga ameshikishwa
Mabeste wanaambia Nonini huwa umerogwa
Nimerogwa na ninazidi kuroga juu ya vile wananiroga
Au vipi jua kali (mmh mmh)
Nakwambia ukweli mi si muongo wala muoga
Ukilala wasikia sauti yangu na kwambia songa
Ukikaa niko kando yako bado ukibuy mboga
Kwa bafu kwa bafu kwa bafu
Niko nyuma yako na kusugua mgongo tukiogaaa
Machali leo hamtalala
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Ka we ni manzi wa Nairobi amka uwanze kukatika
Machali leo hamtalala
Machali leo hamtalala
Carlif records
Aaaii, wewe hii track ni kali
Aaaii, aaaii,wewe hii track ni kali, aaaii...
Hubert Mbuku Nakitare, popularly known by his stage name Nonini, is a Kenyan rapper and a former radio presenter. He is often referred to as the "Godfather of Genge" due to his pioneering contributions to the music genre.
In the realm of rock 'n' roll, there are few names as iconic as Queen, and within the Queen pantheon, Brian May stands out not only as a legendary guitarist but also as an astrophysicist with a profound connection to NASA.
Hip-hop, one of the most influential cultural movements of the 20th and 21st centuries, has recently reached a significant milestone - it's turning 50 years old.
Coachella Festival 2022: here we are. In two days the doors of one of the most anticipated musical events of the year will open, even more so after the last two years in which for very obvious reasons the live music sector has suffered a very important setback.
The 2022 Grammy Awards were the chronicle of an announced triumph: Jon Baptiste collected 11 nominations and won 5 Grammys, defeating all opponents. This was also the year of the very young Olivia Rodrigo, who managed to take home 3 Grammys, including the the best new artist.
Here is finally some good news, the Arcade Fire have finally revealed the title and release date of their new album, 5 years after the last one. For the fan of the group it has been a time that seemed eternal,
Do we want to define "I know you know me" a masterpiece? Yes, without a shadow of a doubt for at least two reasons. The first and most evident are the artists who interpret it: Caroline Spence and Matt Berninger, second for the deep and poetic text.
My favorite group when I was just a teenager were the Fugees, thanks to them a certain curiosity about english language was born in me. I wanted to know and understand the lyrics of their songs, it wasn't enough for me to be carried away exclusively by their beautiful music.
Sweden and the United States are two countries far from each other, thousands of kilometers separate them, the language, culinary and sporting traditions, I don't feel so categorical about the landscapes, not knowing all of America there may be states that have the same reliefs of the country of northern Europe, but on one thing I am sure
It has been talked about for almost 3 years, rumored and it is hoped that sooner or later they will arrive at a collaboration, and now we are satisfied: the Catalan singer Rosalia and the American musician Oneohtrix finally announce the publication of a piece together!